Kuhusu Ishu ya Mashabiki wa Yanga Kwenda Rwanda, Privaldinho Amlipua Vibaya Ahmed Ally wa Simba

  

Kuhusu Ishu ya Mashabiki wa Yanga Kwenda Rwanda, Privaldinho Amlipua Vibaya Ahmed Ally wa Simba

Msimamizi wa Maudhui ya Mitandaoni (Digital Manager) ya Klabu Bingwa Tanzania Bara Young Africans Priva Abiudi Shayo ‘Privaldinho’ amemjibu Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally ambaye aliyesema Yanga wamemuiga yeye kusafirisha mashabiki nje ya nchi.

“Wanahaha, Mzee Luis Sendeu alisafiri sana na mashabiki na mabasi. Jerry Murro alisafirisha kombe na mashabiki hadi Rwanda (2012).

“Antonio Nugaz alisafiri na mashabiki kwa basi kwenda Ndola (vs Zesco) 2018.

“Mfikirwa na mimi tulienda Dr Congo na mashabiki kwa basi. Huyo nae (Ahmed) kipindi cha nyuma kasafiri sana na mabasi yetu sasa sijui anasema tumeiga nini,” amesema Priva.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad