Kylian Mbappe 'Ukimshabikia Ronaldo Huwezi Kumjua Messi"

 

Kylian Mbappe 'Ukimshabikia Ronaldo Huwezi Kumjua Messi"

Mshambuliaji wa Klabu ya PSG, Kylian Mbappe amesema kuwa amekuwa shabiki wa Cristiano Ronaldo tangu akiwa mdogo hivyo kutokana na mapenzi yake kwa staa huyo, hakuwahi kuujua ubora wa Lionel Messi.


Mbappe (24) ambaye ni mchezaji wa Timu ya Taifa ya Ufaransa amekuwa akionyesha mahaba yake kwa Ronaldo wazi wazi lakini hata alipopata wasaa wa kucheza na Messi pale PSG misimu miwili iliyopita, hakuonyesha kumfagilia kabisa jamaa.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad