Mungu Mkubwa...Prof. Jay Amtembelea Mzee Kikwete



Mwanamuziki nguli nchini, Joseph Haule (Prof. Jay), amemtembelea Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, nyumbani kwake mkoani Dar es Salaam.

Kwenye ukurasa wake wa X (zamani Twitter), Mzee Kikwete ameandika, “Leo nimetembelewa na Profesa J nyumbani kwangu Kawe. Ni furaha kubwa kuona afya yake imeimarika. Hakika Mwenyezi Mungu ni mkuu.”

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad