Simba Wakishindwa Kufuzu Viongozi Wajiuzulu, Wameutia Hasara Club


Kwa uwekezaji ambao Simba wamefanya msimu huu [usajili, maboresho ya benchi la ufundi, pre-season] kama watashindwa kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, itakuwa ni hasara kubwa sana kwao.

Kwa hiyo wanatakiwa wafuzu hatua ya makundi halafu mambo mengine baada ya hapo yataji-set yenyewe. Hata wakishindwa kuendelea kutoka kwenye makundi kuna namna viongozi wakiongea na wanachama wanaweza kuwaelewa.

Wakitolewa kwenye hatua hii itabidi waitishe Mkutano Mkuu wa wanachama wawaambie bajeti ya usajili halafu timu imeshindwa kufuzu hatua ya makundi. Halafu viongozi wajitathmini au kujiuzulu kabisa nafasi zao kwa hasara walioisababishia klabu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad