Simba Walimwa Faini na Bodi ya LIGI, Kisa Kizima Hichi Hapa

Simba Walimwa Faini na Bodi ya LIGI, Kisa Kizima Hichi Hapa
Timu ya Simba

  Simba Walimwa Faini na Bodi ya LIGI, Kisa Kizima Hichi Hapa

Klabu ya Simba SC imepigwa faini ya shilingi million moja (1,000,000/=) na bodi ya ligi TPLB.

Hii ni baada ya maafisa wake usalama kumfanyia vurugu Kiongozi mmoja wa Coastal Union kwenye mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara Kati ya Simba SC dhidi ya Coastal Union, ulipigwa katika uwanja wa Uhuru.

Simba SC ilishinda mchezo huo kwa mabao matatu kwa sifuri.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad