Simba Yatuma Salamu kwa Wazambia, Wampiga Mtu bao 4

 

Simba Yatuma Salamu kwa Wazambia, Wampiga Mtu bao 4



Leo Septemba 26 Timu ya Simba imecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Pan African na kuibuka na ushindi wa magoli 4-0.


Simba wako katika maandalizi ya mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya Power Dynamos ya Zambia kuwania kufuzu kwa hatua ya Makundi Ligi ya Mabinwa Afrika utakaopigwa Oktoba 1.


Mabao ya Simba katika mchezo huo yamefungwa na Saido, Phiri, Kibu na Onana.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad