Timu ya Messi Inter Miami wapokea kichapo Fainali ya US Open Cup 2023

 

Inter Miami

Klabu ya Inter Miami leo alfajiri imekubali kichapo cha 2-1 magoli dhidi ya Houston Dynamo FC kwenye mchezo wa Fainali ya US Open Cup 2023 uliopigwa katika dinmba la DR PNK huko nchini Marekani.


Inter Miami imepokea kipigo hicho huku ikiendelea kumkosa nahodha wake majeruhi Lionel Messi ambaye alishuhudia Houston Dynamo ikitwaa taji la US Open 2023 akiwa jukwaani.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad