Unachokifanya Fabrice Ngoma Simba Ndio Alichokuwa Anakifanya Mwamba Jones Mkude

 

Unachokifanya Fabrice Ngoma Simba Ndio Alichokuwa Anakifanya Mwamba Jones Mkude

Unachokifanya Fabrice Ngoma Simba Ndio Alichokuwa Anakifanya Mwamba Jones Mkude 

Kwa sasa mashabiki wa Simba wako katika kilele cha furaha kutokana na kiwango ambacho kinaonyeshwa na Kiungo Mkongomani Fabrice Ngoma tangu atue hapo Unyamani.

Fabrice Luamba Ngoma ana uwezo mkubwa wa kupiga pasi ndefu,pasi fupi fupi na zikafika kwa wahusika kitu ambacho anawashinda kina Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute.

Kutokana na ubora wa Kiungo huyo ikabidi nirudishe kumbukumbu zangu nyuma nikaona kwamba sifa za Fabrice Ngoma pia anazo Kiungo wa zamani wa Simba Jonas Mkude ambaye kwa sasa yupo Yanga.

Wakati ule wa miaka 4 ya utawala wa Simba kwenye soka letu hiki ambacho anakifanya Fabrce Ngoma ndio kile ambacho kilifanywa pia na Jonas Mkude kwenye uzi mwekundu na mweusi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad