Wachezaji wa Yanga Ambao Wamewasili Kambini Baada ya Majukumu ya Timu za Taifa

 

Wachezaji wa Yanga Ambao Wamewasili Kambini Baada ya Majukumu ya Timu za Taifa

Kiungo wa Yanga Khalid Aucho ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa timu za Taifa ambao walirejea mazoezini jana kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kuwania kutinga makundi ya ligi ya mabingwa dhidi ya Al Merrikh


Aucho alitua juzi kutoka Niger ambako aliiongoza Uganda Cranes kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Niger

Ushindi ambao hata hivyo haukuisaidia Uganda kufuzu michuano ya Afcon 2023, Tanzania ikifuzu baada ya kumaliza nafasi ya pili juu ya Uganda katika kundi F

Aucho ni miongoni mwa nyota 11 wa Yanga ambao walikuwa kwenye majukumu ya timu za Taifa

Wachezaji tisa tayari wamerejea kambini huku Stephane Aziz Ki akitarajiwa kuwasili wakati wowote, mlinda lango Djigui Diarra huenda akachelewa

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad