Wezi Wakutana na Mazito na Kuomba Msamaha Baada ya Kuiba Kwangu

Wezi Wakutana na Mazito na Kuomba Msamaha Baada ya Kuiba Kwangu


Ninaitwa Nathaniel kazi yangu ni uuzaji na usambazaji wa magari kutoka China kuleta Tanzania.Kazi yenyewe siyo kongwe sana kwangu ni kazi niliyoifanya kwa muda wa miaka mitatu sasa kabla sijaacha kujishughulisha na utowaji wa copper kwenye vyuma chakavu.

Kazi yenyewe niliipata baada ya kumfahamu daktari BAKONGWA bingwa wa kutatuwa shida za wengi mwenye nambari zake za whatsapp +243990627777 na tovuti zake https://bakongwadoctors.com .

Mwaka wa tatu toka nianze kujihusisha na kazi hii ya kuuza magari nilikuwa mwenye kusafirisafiri sana mara kwa mara na hivyo kupaacha nyumbani penyewe bila ya muangalizi, sikuwa mwenye haraka ya kuowa nilitaka kujikamilisha kwanza kwenye kila kona ya maisha yangu.

Sasa nilikuwa nimepanga mara baada ya safari yangu ya mwisho nimuhusishe daktari juu ya swala langu la mimi kuoa ili anifanyie wepesi katika jambo hili ambalo vijana wengi huwa linatusubuwa.

Uangalizi niliokuwa nao hapo nyubani ni wa cctv tu ambazo zilifungwa na watu wa kampuni la delmac, kwa hivyo sikuwa na wasiwasi tena, sijuwi ni kipi walikifanya kwenye ulinzi wangu lakini nilipigiwa simu na delmac nikaambiwa kuwa majambazi wameingia nyumbani kwangu na kuiba kila kitu kwa bahati mbaya walifanikiwa kuzizima cctv na hivyo hazikuwanasa wala hawakujulikana.

Niliogopa sana kwa taarifa hizo tena nilikasirishwa sana nilipokumbuka ni jinsi gani na nguvu kiasi gani nimezitumia kupata mali hizo, nilipokumbuka mtu wa kunisaidia daktari bakongwa , nilimpigia na kumueleza kila lililotokea ,yeye hakuwa na wasiwasi aliniambia kuwa nitakapo kuwa nimerudi nyumbani Tanzania mali zangu nazo zitarudi.

Kwakuwa ninamuamini sana sikuwa mtu wa pupa nilifunga mzigo wangu wa magari na kurudi Tanzania , mara tu baada ya kufika nyumbani siku yapili yake nilishangazwa kuona vijana wane wamekuja wamevimba matumbo wakiomba msamaha na kurudisha mali walizochukuwa.

Nilimpigia daktari na kumfahamisha lililotokea yeye akasema nifanye vile mimi ninataka kwa kuwa ni mali zangu nikaamuwa vijana wale warudishe gharama za kuharibu mfumi wangu wa cctv, mali zangu na kisha kuwasamehe , nina shukuru sana kwa daktari kwa kweli haujawahi kuniangusha katika jambo lolote.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad