Breaking: Dkt. Tulia Ashinda Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).

 

Breaking: Dkt. Tulia Ashinda Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).



Spika wa Bunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Tulia Ackson ameshinda kwa kishindo na kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).


Dkt. Tulia amepata ushindi wa kura 172 za Tanzania, huku Somalia wakipata kura 11, Senegal kura 59 na Malawi wakipata kura 61 katika Mkutano huo wa 147.


Uchaguzi huo umefanyika leo nchini Angola katika Jiji la Luanda na katika maelezo yake wakati akiomba kura jana, Dkt. Tulia aliwaahidi kusimamia misingi ya Umoja kwa kuongeza Ufanisi, Uwajibikaji na Uwazi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad