Fei Toto Afunguka JEZI yake Kupewa Skudu

Fei Toto Afunguka JEZI yake Kupewa Skudu


Baada ya Fei toto kuondoka Yanga jezi yake namba sita ilitua kwa Msauzi Mahalatse Makudubela 'Skudu' na jamaa anasema wala hawaingilii na anakumbali aliyepewa.


"Siwezi kuwaingilia maamuzi yao unajua mimi sasa niko huku Azam, aliyepewa jezi ile mimi namtakia kila la kheri na uzuri aliyepewa ile jezi ni Skudu ni rafiki yangu pia nilimjua kupitia Bernard Morrison na hata alipokuja hapa nilikutana naye siku moja uwanja wa ndege tuliongea vizuri na nikamkaribisha nchini na namtakia kila la kheri apambane tu kufanya mazuri kushinda niliyoyafanya mimi,”

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad