Hassan Mwakinyo Atoa Neno: Kwa Niliyopitia Mimi ni Mwanaume wa Kweli

 

Hassan Mwakinyo Atoa Neno: Kwa Niliyopitia Mimi ni Mwanaume wa Kweli

Akiwa anatumikia adhabu ya kufungiwa kutoshiriki katika mchezo wa ngumi kwa mwaka mmoja na adhabu ya kupigwa faini.


Bondia Hassan Mwakinyo kupitia akaunti yake ya Instagram ameandika;


"Misoto mikali na maisha ya dhiki niliyopitia yamenifanya kubaki kuwa mwanaume wa kweli"


"Mwanaume ni nani.. Mthubutu, rijali wa kweli,asiye ogopa maisha. Mungu aliwapa watu kuwa sehemu ya mifano ili ambao hatuna tujifunze kukaza inawezekana. Lakini aliwanyima wengine pia kutufunza kuwa kukosa inawezekana. Kuwa mwanaume sio neno, uanaume wako unasimama wapi?"

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad