Kikosi cha Simba SC vs Al Ahly Leo 24/10/2023


 
Kikosi cha Simba SC vs Al Ahly Leo 24/10/2023

Kikosi cha Simba SC vs Al Ahly Leo 24/10/2023


Wawakilishi wa Tanzania katika Michuano ya African Football League Timu ya Simba inashuka Dimbani muda mchache kutoka sasa kuvaana na Al Ahly.

Mchezo huo wa mkondo wa pili hatua ya Robo Fainali unapigwa katika Uwanja wa Kimataifa wa Cairo.

Mchezo wa Mkondo wa kwanza uliopigwa katika Uwanja wa Mkapa Jijini Dar Juma lililopita ulimazilika kwa sare ya mabao 2-2.

Simba wanahitaji ushindi au sare ya kuanzia mabao matatu kujihakikishia nafasi ya kufuzu kwa hatua ya Nusu Fainali.

Hili hapa Jeshi la Simba linaloanza mchezo wa leo;


Kikosi cha Simba SC vs Al Ahly Leo 24/10/2023

SIMBA LINE UP

Ally
Kapombe
Hussein
Henock
Che Melone
Kanoute
Ngoma
Kibu
Bocco
Ntibazonkiza
Chama

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad