Klabu ya Man City imeshinda Tuzo ya Klabu Bora ya Mwaka Tuzo za Ballon d’Or

Klabu ya Man City imeshinda Tuzo ya Klabu Bora ya Mwaka Tuzo za  Ballon d’Or


Klabu ya Man City imeshinda tuzo ya Klabu Bora ya mwaka katika usiku wa tuzo za Ballon d’Or, Man City walikuwa na msimu bora sana kwa kufanikiwa kutwaa mataji matatu (treble) ambayo ni mataji ya EPL, Champions League na FA Cup.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad