Mchezaji Skudu Hakustahili Kuanza Mechi ya Ihefu

 

Mchezaji Skudu Hakustahili Kuanza Mechi ya Ihefu

 Mchezaji Skudu Hakustahili Kuanza Mechi ya Ihefu 

Mechi ya Ihefu ilimpalia Skudu Makudubela mapema sana ni mechi ambavyo ilikuwa na matumizi makubwa ya nguvu na kufikana mwilini unamuna fitness yake ipo chini sana sababu hajapata muda mwingi wa kucheza na sijuhi kwanini kocha alimpanga katika mechi ya namna hii alipata shida sana.

Skudu hakuna na msaada kwa timu ni miongini mwa sababu za Ihefu kushinda mechi dhidi ya Yanga SC wakati wanashambulia Skudu alipewa mpira lazima atachelewa nao dakika moja mpaka mbili.

Hali inayowafanya wapinzani kujipanga kwa haraka lakini pia chenga zake hazina faida maana hatengenezi hatari kwa kulitafuta boksi la mpinzani lakini timu ikiwa inashambuliwa alimpa wakati mgumu fullback wake hashuki chini kuja kumsaidia kukaba Hali iliwafanya Ihefu kutamba sana katika mchezo wa juzi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad