Mkurugenzi TPA: Mkata wa bandari utakuwa na ukomo wa miaka 30, sio 100

 

Mkurugenzi TPA: Mkata wa bandari utakuwa na ukomo wa miaka 30, sio 100

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema mkataba wa uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam utakuwa wa miaka 30 na sio 100 kama ambavyo ilikuwa ikisemwa awali.


Mbossa ameyasema hayo leo Jumapili Oktoba 22, 2023 katika hafla ya utiaji saini wa mikataba mahususi mitatu ya uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam Ikulu ya Chamwino, Dodoma.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad