Paul Makonda 'Polisi Achieni Mikutano ya Siasa, Kama ni Vibali Wapeni Hao Watoa Taarifa'




"Watu wamekuwa na dhana wakifikiri CCM inabebwa na Polisi naomba kuwaomba Polisi, tuachieni mikutano ya hadhara tuachieni hao wanaojiita chama cha watoa taarifa msiahangaike nao kama ni vibali wapeni kama ni ulinzi wapeni safu ya Dkt. Samia imekamilika" ~ Paul Makonda Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad