Yanga vs Azam Fc yasogezwa mbele Tena




Mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Yanga dhidi ya Azam Fc sasa utapigwa siku ya Jumatatu, Oktoba 23 2022 badala ya Jumapili ya Oktoba 22 2023

Bodi ya Ligi imebainisha kuwa mabadiliko hayo yametokana na uwepo wa mchezo wa AFL kati ya TP Mazembe dhidi ya Esperance ambao utapigwa Oktoba 22

Aidha mchezo kati ya Yanga dhidi ya Singida BS sasa utapigwa Oktoba 27 badala ya Oktoba 26


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad