Beki Wydad Casablanca Afariki Dunia

Beki Wydad Casablanca Afariki Dunia


Nyota wa klabu ya Wydad Casablanca Oussama Falouh amefariki Dunia baada ya kupata majeraha yaliyotokana na ajali ya gari aliyoipata wiki kadhaa zilizopita.


Oussama alikuwa akicheza eneo la Ulinzi, amefariki akiwa na umri wa miaka 24.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad