Edo Kumwembe 'Yanga Walijisahau Wakajiona wao ni Mamelodi Sundown's au Al Ahly'


Edo Kumwembe

“Majuzi nilikuwa nawasifu Yanga namna ambavyo wanakuwa bora wakati hawana mpira. Katika mechi hii hawakuwa na ubora wowote ule wakati hawana mpira. Walijisahau na kujiona wao ni Al Ahly. Walijisahau na kujiona wao ni Mamelodi Sundowns. Wakajisahau na kujiona wao ni Man City. Nyodo za kujaribu kucheza vizuri na kusaka wakiwa ugenini zikawaponza Yanga.” - Edo Kumwembe

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad