Mchugaji Mashimo: Simba itaendelea Kufungwa Mpaka itoe Sadaka

 

Mchugaji Mashimo: Simba itaendelea Kufungwa Mpaka itoe Sadaka

 Mchugaji Mashimo: Simba itaendelea Kufungwa Mpaka itoe Sadaka

Mchungaji maarufu Jijini Dar es Salaam anafahamika kama mchungaji Mashimo amesema Klabu ya Simba itaendelea kupoteza michezo yake mpaka pale watakapopeleka Sadaka kwake.

Mashimo aliitabiria Simba kupoteza mbele ya Yanga na sasa anasema bila Sadaka hawataonja ladha ya ushindi.

"Bwana Asifiwe, Simba itaendelea kujiimbia wimbo wa parapanda mpaka pale uongozi wake utakaponilipa pesa zangu ikiwa pamoja na Ahmed Ally kuniomba Radhi."

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad