Mwanamuziki Akon Ajibu Tuhuma za Kumbaka Binti wa Miaka 13

 

Mwanamuziki Akon Ajibu Tuhuma za Kumbaka Binti wa Miaka 13

Baada ya mtayarishaji mkongwe wa muziki kutoka nchini Marekani Suge Knight kudai kuwa mwanamuziki na mfanyabiashara #Akon aliwahi kumbaka binti wa miaka 13, hatimaye, muimbaji huyo amezungumza kwa mara ya kwanza kuhusiana na jambo hilo

Kufuatia mtando wa #X wa #Akon ameandika kuwa “Ulimwengu unafahamu uongo pale tu wanapo usikia, inahudhunisha, kudhalilisha na kutia aibu sana bila kujali historia yetu lakini bado nitaendelea kumuombea”

Suge Knight, ambaye kwa sasa anatumikia kifungo cha miaka 28 jela kwa kuua bila kukusudia, aliyasema hayo kupitia Podcast mpya ya ‘Collect Calls’ ambayo imezinduliwa na #Knight kutoka gerezani.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad