Kaka wa Diamond Platnumz Rommy Jones Alia Maisha Magumu


Rommy Jones Kaka wa Diamond platnumz
Rommy Jones Kaka wa Diamond platnumz


Kaka wa mwanamuziki #Diamond, Romy Jons amefunguka kwa kueleza kuwa licha ya yeye kuwa na kibarua lakini bado maisha ni magumu.

@romyjons kupitia ukurasa wake wa #Instagram amewauliza swali mashabiki wake labda kuna sehemu watu wamekosea ndiyo maana maisha magumu huku akiweka wazi kuwa hata yeye mwenye vibarua viwili vitatu lakini kuipata hiyo pesa imekuwa ni kashehe.

Vipi kwa upande wako hali ni tete kama kwa #Romy?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad