Mange Kimambi Atoa Mpya "Haji Manara Unampiga Zaylisa Sound tu Kashamgundua Akili Ki....da"



Mange Kimambi Atoa Mpya "Haji Manara Unampiga Zaylisa Sound tu Kashamgundua Akili Ki

Ameandika haya Mange Kimambi:

Semaji katangaza dau la 50M kwa msaniii kumtungia wimbo twiga wake… jamani si atumie hizo pesa kumu upgrade twiga kwanza? aache kumbebesha mafamba? Twiga wa taifa anabebaje mafamba na huku mmiliki wake ana 50M ya kumtungia nyimbo tu??
.
Nimezoom hiyo bag nimeliaaaaaaaa maana ni ile grade ya mwisho kabisa maana sio kwa wekundu huo kwenye mikanda 😭😭😭😭. Si angemnunulia hata LV la uturuki jamani? Hili ni lile la sagula sagula.
.
.
Yani mimi mtu akijisifia ana hela alafu anabeba mafamba huwa nalia sana 😭😭😭😭😭😭
.
.
Twiga mwenyewe kuna nguo alivaa kule mbugani nililia sana, nywele sasa kavu cheap kama zile za Diva, yani inshort hata shopping ya safari hakufanyiwa ila jamaa anamdanganya atamtungia nyimbo ya milioni 50 😭😭😭😭😭😭😭
.
.
Yani kwa kifupi huyu demu anapigwa sound tu, jamaa kamsoma kuwa ana akili kisoda so anampeleka kwa sound tu. Demu atasubiria maokoto kwa huyo jamaa mpaka kiama. Hapo akitaka kitu kikubwa ataambiwa nimetoka kulipia milioni 50 kwa nyimbo yako kumbe kalipa 2M 😭😭😭😭😭😭. Aisee mjini we njoo na akili tu!!! 🤣
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad