Mlima Kitonga Waanza Kupanuliwa, Njia 4 Mtu Wangu

Mlima Kitonga Waanza Kupanuliwa, Njia 4 Mtu Wangu
Mlima Kitonga

Mlima Kitonga Waanza Kupanuliwa, Njia 4 Mtu Wangu

Hatimaye kilio cha muda mrefu cha Watumiaji wa barabara kuu ya TANZAM kutokea Ruaha Mbuyuni hususani eneo la mlima Kitonga kimeanza kufanyiwa kazi kwa kupanua barabara hiyo kuifanya ya njia nne ili kuepusha foleni za mara mara na kuufanya mlima huo kupitika kiurahisi.


Meneja wa TANROADS Iringa Mhandisi Yudas Msangi amesema ujenzi wa mradi huu utagharimu shilingi bilioni 6.4 hadi kukamilika na itajengwa barabara ya kiwango ya njia nne ambayo itakuwa na mifereji mikubwa ya kuongoza maji na kufungwa vioo vikubwa kwenye kila kona ili kusaidia upishano mzuri wa magari nyakati zote. 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad