Paul Pogba afungiwa miaka minne

Paul Pogba afungiwa miaka minne


Kiungo Paul Pogba amefungiwa Kujihusisha na maswala ya Soka kwa miaka minne kwa makosa ya matumizi ya madawa yaliyokatazwa michezoni.


Paul Pogba mwenye miaka 30 hivi sasa atarudi tena uwanjani 2028 akiwa na umri wa miaka 34.


Maisha ya talanta yake ndani ya soka imemalizika rasmi na siku ya jumapili Juventus walivunja mkataba na kiungo huyo wa zamani wa Manchester United na Ufaransa.


Maisha ni kuchagua kazi zipo nyingi atajishughulisha tu soka kwake itabaki kama Historia tu.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad