Mechi ya SIMBA na Yanga Kuchezwa Mwezi Huu


Mechi ya SIMBA na Yanga Kuchezwa Mwezi Huu

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza tarehe ya mchezo wa Young Africans dhidi ya Simba, maarufu kama "Kariakoo Derby". Mchezo huo, ambao awali haukupangiwa tarehe, utachezwa Aprili 20, 2024, saa 11:00 jioni kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.

Mechi ya mzunguko wa kwanza Simba SC alipigwa bao 5-1 dhidi ya watani zao Yanga SC.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad