Edo Kumwembe Afunguka "Simba Sio Ngumu Kufungika, Wanaruhusu Mabao"


Edo Kumwembe Afunguka "Simba Sio Ngumu Kufungika, Wanaruhusu Mabao"

“Ilichukua dakika nne tu Simba kuruhusu bao ambalo hakuna aliyejua lingebakia kuwa la pekee la mechi ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya mechi nyingine tatu zilizobakia kwenda suluhu ya bila kufungana wikiendi iliyopita.
.
Ndio, haikushangaza sana. Imekuwa kawaida ya Simba kuruhusu mabao. Simba sio ngumu kufungika. Kama wiki chache tu zilizopita ilimruhusu Samson Mbangula kufunga mabao mawili pale Morogoro basi ingekuwa ngumu kuwazuia Al Ahly wasipate bao Temeke.Ndicho kilichotokea.” — Edo Kumwembe.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad