Ihefu Yabadilishwa Jina, Sasa Kuitwa Singida BS

 

Ihefu Yabadilishwa Jina, Sasa Kuitwa Singida BS

Klabu ya lhefu ambayo ilikuwa na maskani yake pale Mbeya baadae kuhamishiwa Singida ,Imebadilishwa rasmi jina na sasa inaitwa Singida Black stars SC.


Maelezo ya Barua ya lhefu ambayo kwasasa ni Singida Black Stars,lengo la wao kubadilisha jina ni kuwaunganisha wakazi wa Singida na timu hiyo.


Kuhusu Singida Big Stars ilishahamishia makazi Jiiini Mwanza nayo si ajabu siku yoyote kunzia sasa ikabadilishwa jina

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad