Mangungu Akataa Kujiuzulu Simba



Tetesi zinazoendelea kwa sasa katika Klabu ya Simba SC juu ya Mwenyekiti wao upande wa wanachama;

SIMBA MPYA: Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu alishauliwa kujiuzulu katika nafasi hiyo, lakini hadi muda huu ameshikilia msimamo wa kutokuachia ngazi katika nafasi hiyo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad