Mechi ya Marudiano ya Yanga na Mamelodi Yapewa Jina la SADC DERBY


Wadhamini wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika Total Energies wameupa jina la SADC DERBY mchezo wa Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns.

Mchezo wa timu hizi mbili umekuwa gumzo Afrika yote na ikizingatia timu hizi mbili zinatoka ukanda wa SADC kiuchumi lakini kimpira timu hizi zinatoka kanda mbili tofauti.

Yanga inatoka ukanda wa CECAFA na Mamelodi Sundowns inatoka ukanda wa COSAFA.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad