NEC Sasa ni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

NEC Sasa ni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi


Serikali Nchini imetangaza mabadiliko ya jina la Tume ya Taifa ya Uchaguzi – NEC, kuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, ikiwa ni siku chache tangu muswada wa sheria ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa Sheria rasmi, ambao uliwasilishwa Bungeni Novemba, 2023.

NEC Sasa ni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad