UTEUZI: Rais Samia Ateua Wawili Yumo Bosi wa VETA


Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) na Kamishna wa Petroli na Gesi katika Wizara ya Nishati.

Ambapo amteua Anthony Kasore kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Veta, Kabla ya uteuzi huo, Kasore alikuwa akikaimu nafasi hiyo.
Aidha, Rais Samia amemteua Goodluck Shirima kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi katika Wizara ya Nishati. Kabla ya uteuzi huo, Shirima alikuwa mkuu wa kitengo cha sheria na uhusiano wa kampuni ya Puma.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad