Watu Nane Wafariki Ajali ya Basi na Lori Singida

Watu Nane Wafariki Ajali ya Basi na Lori Singida

Watu wanane wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la kampuni ya Lujiga Express lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza kuligonga lori kwa nyuma lililokuwa limeengeshwa barabarani baada ya kuharibika katika Kijiiji cha Mseko kilichopo katika Kitongoji cha Malendi Kata ya Mgongo na Tarafa ya Shelui mkoani Singida.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad