Yanga Imepeleka Somo Afrika

Yanga Imepeleka Somo Afrika

 

Baada ya Yanga kuchafua hali ya hewa AFRIKA kwa mjadala kuwa CAF inaendeshwa kwa RUSHWA baada ya waamuzi kukataa bao la Aziz Ki dhidi ya Mamelodi Sundowns


Kwa sasa hakuna timu itatamani kucheza na Yanga kwenye mashindano ya CAF kwa statement waliyoiweka


Yanga ndio timu pekee tangu (2015) kuizuia Mamelodi Sundowns kufunga goli lolote kwenye michezo miwili hatua ya robo fainali CAF-CL.


NB ; Mamelodi Sundowns ndio timu iliyokuwa inaogopwa zaidi Africa currently.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad