Endapo Fei Toto na Aziz K Watalingana Magoli Mwisho wa Ligi, Fei Toto Atapewa Kiatu Cha Dhahabu


Fei Toto vs Aziz K
Fei Toto vs Aziz K


Kanuni mpya katika Kipengele cha ufungaji bora wa ligi kinasema, endapo Wachezaji wawili watalingana magoli basi mwenye idadi ya magoli machache ya penati ndio atakuwa mfungaji bora.

• Goli la Penati - Alama 1
• Goli la kawaida - Alama 2

Kwa kuwa Aziz Ki amefunga magoli mengi ya penati kumzidi Feitoto basi Fei atatangazwa kuwa mfungaji Bora msimu huu 2023-24.

FINAL GAME:
Yanga vs Prisons
Azam vs Geita Gold

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Yaani hizi Sheria zinabadilika kuwa differ against Yanga, kuna mambo tff na bodi mnatakiwa muwe smart

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad