FIFA waipa Morocco uenyeji Kombe la Dunia

 

FIFA waipa Morocco uenyeji Kombe la Dunia

FIFA imetangaza Morocco kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA kwa Upande Wa Wanawake U17 kuanzia 2025 hadi 2029,


Kwa miaka mitano ijayo, Morocco itakuwa mwenyeji wa mashindano hayo ambayo sasa yatafanyika kila mwaka na itakuwa nchi ya kwanza ya Kiafrika Kuwa Mwenyeji wa Mashindano ya Vijana ya FIFA.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad