Huyu Ndio Juma Mgunda, Simba Wanapashwa Wampe Ukocha Mkuu Waachane na Wazungu


Huyu Ndio Juma Mgunda, Simba Wanapashwa Wampe Ukocha Mkuu Waachane na Wazungu


Simba SC wameichukua heshima yao kinguvu hii leo , the man behind this mission ni Juma Mgunda ! kipindi chote ambacho Simba inapitia mateso yeye alikuwa Simba hapo hapo lakini hakushika mpini kwa sababu alikuwa upande wa wanawake.

Kuni ya akiba imeivisha ndondo ! Sijui mashabiki wanatamani kusikia nini zaidi ya taarifa kuwa Mgunda amepewa mkataba kama kocha mkuu wa Simba .

FT AZAM 0-3 SIMBA
⚽️ Sadio
⚽️ Ngoma
⚽️ Duchu

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad