TANZIA: Waziri wa zamani wa Fedha, Mustafa Mkulo amefariki dunia.


TANZIA: Waziri wa zamani wa Fedha, Mustafa Mkulo amefariki dunia.

Kwa mujibu wa taarifa ya familia, inasema Mkulo ambae aliwahi kuwa Mbunge wa Kilosa, amefariki Mei 3, katika hospital ya Taifa ya Muhimbili.

Msiba kwa sasa upo nyumbani kwake Mikocheni, mipango ya mazishi inaendelea na anatarajia kuzikwa kesho Jumapili Mei 5, Kijijini kwao Kilosa.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad