Davido Amzawadia Ndinga kali Chioma Siku ya Harudi yao

Davido Amzawadia Ndinga kali Chioma Siku ya Harudi yao


Mwanamuziki Kutoka nchini Nigeria, Davido amem-surprise mkewe, Chioma kwa kumpatia zawadi ya gari jipya la kifahari aina ya GAC Trumpchi GN8 MPV ya mwaka 2024 kwenye harusi yao inayofanyika huko Lagos nchini Nigeria.



Nyota huyo wa Afrobeats David Adeleke, maarufu Davido na mwanamuziki tajiri zaidi nchini Nigeria, amefunga ndoa na mpenzi wake Chioma Avril Rowland (aka Chef Chi).

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad