KUMEKUCHA: Rais FIFA Aipongeza Yanga

 

KUMEKUCHA: Rais FIFA Aipongeza Yanga

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino ametuma salamu za pongezi kwa Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC 2023/2024 Klabu ya Young Africans.


Infantino amesema juhudi zao katika msimu mzima zimezaa matunda na kupata taji hilo muhimu huku akiwapongeza wanachama wote wa Klabu hiyo kwa mafanikio hayo.


Aidha amemshukuru Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia kwa kazi nzuri na kujitolea kwa maendeleo ya mpira wa miguu wa Tanzania.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad