Msanii Prezzo Adondoka na Kupoteza Fahamu

Msanii Prezzo Adondoka na Kupoteza Fahamu


Legend wa Muziki wa Rap kutokea nchini Kenya CMB Prezzo ameanguka gafla na kupoteza fahamu,


Tukio hilo limetokea wakati Prezzo alipokua amehudhuria kwenye uzinduzi wa Reality Show ya Msanii mwenzake @bahatikenya , kutokea nchini humo.


Sababu za Rapa huyo kupoteza fahamu bado hazijawekwa wazi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad