Paka Mweusi Alivyosababisha Hofu Ndani ya duka


Paka Mweusi Alivyosababisha Hofu Ndani ya duka


Mwanana aitwaye Win Wamugo alikuwa mmiliki wa duka dogo (genge) huko Kamenu ambapo aliuza mboga na bidhaa nyingine za nyumbani kwa wateja wake waaminifu ambao walimpenda sana.  

Alikuwa akisimamia duka hilo kwa zaidi ya miaka mitano na alikuwa amepata sifa nzuri lukuki katika jamii inayomzunguka, alijulikana kwa uaminifu wake, fadhili na hata ukarimu.

Lakini siku moja kila kitu kilibadilika, Win alifika dukani kwake asubuhi na kumkuta paka mweusi akiwa amekaa kwenye kaunta yake akimtazama kwa macho yake ya njano. 

Alishtuka na kuogopa kwani hakuwahi kumuona paka wa aina hiyo hapo awali, na aliamini kwamba paka weusi ni ishara ya bahati mbaya, roho mbaya au mikosi katika biashara. 

Alijaribu kumfukuza paka yule lakini ilikataa kuondoka na badala yake alimrukia na kumparua hadi kutokwa na damu. Alipiga kelele kuomba msaada lakini hakuna mtu aliyejitokeza kumsaidia. 

Wini alijihisi mnyonge na kukosa tumaini, huku akijiuliza paka huyo anataka nini kutoka kwake na anakusudio gani katika biashara yake ambayo imekuwa ikiipa mapato tele ya kuendesha maisha yake kwa miaka mingi. 

Aliamua kuwaita Kiwanga Doctors, kundi la waganga wa kienyeji ambalo lina uwezo wa kutatua tatizo lolote, Win alikuwa ameona matangazo yao kwenye runinga na mtandaoni, hivyo alijua watamsaidia kumuondolea paka huyo na kumrudishia amani ya akili.

Aliwapiga kupitia namba zao na kueleza hali yake, walimwambia asiwe na wasiwasi na kwamba watakuja dukani kwake haraka iwezekanavyo. Pia walimwambia awalipe ada kidogo jambo ambalo alikubali kufanya.

Aliwangoja kwa hamu wafike, akitumaini kwamba wangeweza kumfukuza paka huyo na pia kuhakikisha biashara yake inaendelea kukua na kupata faida mana tayari wateja walianza kumkimbia kwa kumuogopa paka huyo.   

Hatimaye walipofika, walikuwa wamevalia mavazi ya rangi na shanga, huku wakiwa wamekubeba mfuko wenye mimea na zana nyingine, walisalimiana na Win na kumhakikishia kuwa watamtatulia tatizo lake. 

Walimwomba atoke nje ili wamshike paka, waliingia dukani na kufunga mlango, Win akawasikia wakiimba na kugonga kuta. Alisikia harufu ya moshi na uvumba. 

Baada ya lisaa limoja walitoka dukani huku wakitabasamu na kumshika paka yule mikononi, walimwambia Win kwamba wamefanikiwa kuondoa laana kutoka kwa paka huyo. Pia walimwambia kwamba wamebariki duka lake, na kwamba litavutia wateja wengi na kupata faida zaidi. 

Walimkabidhi paka na kumwambia amtunze kama rafiki yake, Win alifarijika na kushukuru, aliwashukuru sana, na kuwalipa ada yao kisha kuondoka zao. 

Alifungua duka lake na kuwakaribisha wateja wake, alishangaa na kufurahi kuona kwamba wateja wanakuja kwa wingi kuliko hata ilivyokuwa mwanzo na sasa biashara yake imechangamka sana. Mpigie Kiwanga Doctors kwa namba +255763926750 au +254769404965 au tembelea tovuti yake www.kiwangadoctors.com

 


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad