Web

Usajili: Azam Waacha Wachezaji Wanne Kwa Mpigo...Hawa Hapa

Top Post Ad


Usajili: Azam Waacha Wachezaji Wanne Kwa Mpigo...Hawa Hapa

Klabu ya soka ya Azam, imetangaza kuwapa mkono wa kwaheri wachezaji wanne na kuwatakia kila la kheri kwenye safari yao ya soka.

Wachezaji hao ambao wamepewa ‘thank you’ leo ni Ayoub Lyanga, Edward Manyama, Malickou Ndoye na Issa Ndala.

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.