UTEUZI:Rais Samia Ateua Wakuu Wapya wa Wilaya za Momba na Nanyumbu

UTEUZI:Rais Samia Ateua Wakuu Wapya wa Wilaya za Momba na Nanyumbu


UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Elias Daniel Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba akichukua nafasi ya #KenanKihongosi aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu

Kabla ya Uteuzi, Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais-Ikulu

Aidha, Christopher Magala ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu, akichukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye Uteuzi wake umetenguliwa

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad