Hii Hapa RATIBA ya Mashindano ya Ngao ya Jamii 2024


Ratiba Michezo ya Ngao ya Jamii 2024 hadharani
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) limeweka hadharani ratiba ya Ngao ya Jamii 2024/25

Michuano hiyo itakayoshirikisha timu nne inatarajiwa kuanza August 08 hadi August 11 2024

Kama kanuni zitafuata msimu uliopita, bingwa wa ligi Kuu atachuana na mshindi wa tatu wakati aliyeshika nafasi ya pili atachuana na wa nne


Yaani Yanga itachuana na Simba huku Azam Fc ikichuana na Coastal Union

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad