Bony Mwaitege Hajafariki Dunia - Mkewe Afunguka

Bony Mwaitege Hajafariki Dunia - Mkewe Afunguka


Mke wa Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Tanzania, Boniface Mwaitege amekanusha taarifa zilizosambazwa mitandaoni na kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuwa muimbaji huyo amefariki dunia leo kwa ajali ya gari.


Akizungumza nasi leo Julai 22, 2024 Mke wa Mwaitege amenukuliwa akisema; “Bony Mwaitege ni mzima kabisa ametoka safari kutoka Kenya na amefika nyumbani salama, amepumzika.”


Baadhi ya Mitandao leo iliripoti kuwa Mwimbaji huyo amefariki kutokana na ajali ya barabarani kitu ambacho mkewe amesema kuwa ni uongo na uzushi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad