DROO YA SHIRIKISHO CAF: Simba kukutana na Uhamiaji ama Bingwa wa FA Libya

 

DROO YA SHIRIKISHO CAF: Simba kukutana na Uhamiaji ama Bingwa wa FA Libya

Katika droo ya Kombe la Shirikisho Afrika, Klabu ya Simba ambayo itaanzia hatua ya pili ya mtoano, imepangwa kucheza na mshindi kati ya Uhamiaji ya Zanzibar na Bingwa wa FA nchini Libya.


Coastal Union ambao wataanzia hatua ya kwanza ya mtoano, wao watacheza dhidi ya FC Bravo ya Angola na atakayefuzu atakipiga dhidi ya Fc Lupopo.


Mechi za mkondo wa kwanza wa hatua ya awali zitapigwa kati ya Agosti 16 - 18 huku marudiano yakitarajiwa kupigwa kati ya Agosti 22 - 25, 2024.


Mechi mkondo wa kwanza wa raundi ya kwanza zitapigwa kati ya Septemba 13-15, 2024 huku marudiano yakitarajiwa kupigwa kati ya Septemba 20-22, 2024.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad