HATIMAYE Simba wamtangaza rasmi CEO mpya atakayemrithi Kajula

 

HATIMAYE Simba wamtangaza rasmi CEO mpya atakayemrithi Kajula

Klabu ya Simba imemtambulisha rasmi, Francois Regis kuwa mtendaji mkuu wa klabu hiyo akichukua nafasi ya Imani Kajula ambaye aliomba kutoendelea mkataba wake ukiisha.


Regis amewahi kuwa Mtendaji Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Rwanda na pia makamu wa Rais wa klabu ya APR.


Mnyarwanda huyo anatarajia kuanza rasmi majukumu yake Agosti Mosi, mwaka huu, ambapo Kajula mkataba wake unakoma mwisho wa mwezi huu Julai.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad